Nikasi, Eutropia na wenzao

Nikasi, Eutropia na wenzao Fiorenso na Jokundo (walifariki Reims, nchini Ufaransa, 407 hivi) walikuwa askofu wa 10 wa mji huo, dada yake bikira, shemasi na Mkristo mwingine waliouawa na wavamizi Wavandali mbele ya kanisa[1].

Mt. Nikasi katika dirisha la kioo cha rangi.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao ni tarehe 14 Desemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.