Nunilona na Alodia

Nunilona na Alodia (Huesca, Hispania - Huesca, 851) walikuwa mabinti wadogo, watoto pacha wa baba Mwislamu na mama Mkristo waliouawa kwa upanga na mtawala wa eneo hilo, Abd-ar-Rahman II kwa sababu ya kukiri hadharani imani ya Kikristo na hivyo kuhesabiwa na ndugu wa baba na serikali kama waasi[1].

Sanamu za Nunilona na Alodia huko Alquézar, walipouawa.

Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao inaadhimishwa kila tarehe 22 Oktoba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

  • Catlos, Brian A. The Victors and the Vanquished: Christians and Muslims of Catalonia and Aragon, 1050–1300. Cambridge: Cambridge University Press, 2004. ISBN 0-521-82234-3.
  • Collins, Roger. The Basques. London: Blackwell Publishing, 1990. ISBN 0-631-13478-6.

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.