Nyeri
Nyeri ni mji wa Kenya ya kati, takriban kilomita 100 kaskazini kwa Nairobi, miguuni mwa safu ya Aberdare ikitazama mlima Kenya. Nyeri ni makao makuu ya Kaunti ya Nyeri.
Nyeri | |
Mahali pa mji wa Nyeri katika Kenya | |
Majiranukta: 0°25′0″S 36°57′0″E / 0.41667°S 36.95000°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | |
Nyeri | |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 125,357 |
Mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 125,357[1]. Wakazi walio wengi ni Wakikuyu.
Nyeri imejulikana kimataifa kwa sababu ni mahali pa kuzikwa kwa Robert Baden-Powell anayekumbukwa kama mwanzilishi wa harakati ya maskauti. Maskauti kutoka nchi mbalimbali za dunia hufika hapo mara kwa mara kwa kumheshimu mzee huyu.
Tazama pia
Tanbihi
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz