Nyeri

Nyeri ni mji wa Kenya ya kati, takriban kilomita 100 kaskazini kwa Nairobi, miguuni mwa safu ya Aberdare ikitazama mlima Kenya. Nyeri ni makao makuu ya Kaunti ya Nyeri.

Nyeri, Kenya


Nyeri
Nyeri is located in Kenya
Nyeri
Nyeri

Mahali pa mji wa Nyeri katika Kenya

Majiranukta: 0°25′0″S 36°57′0″E / 0.41667°S 36.95000°E / -0.41667; 36.95000
NchiBendera ya Kenya Kenya
Kaunti
Nyeri
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 125,357

Mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 125,357[1]. Wakazi walio wengi ni Wakikuyu.

Nyeri imejulikana kimataifa kwa sababu ni mahali pa kuzikwa kwa Robert Baden-Powell anayekumbukwa kama mwanzilishi wa harakati ya maskauti. Maskauti kutoka nchi mbalimbali za dunia hufika hapo mara kwa mara kwa kumheshimu mzee huyu.


Tazama pia

Tanbihi