Oliver Plunkett
Oliver Plunkett (kwa Kieire: Oilibhéar Pluincéid; Loughcrew, County Meath, Ireland, 1 Novemba 1625[1] – Tyburn, London, Uingereza, 1 Julai 1681) alikuwa askofu mkuu wa Armagh, kaskazini mwa Ireland, kuanzia mwaka 1670[2].
Baada ya njama ya Kipapa aliendelea, ingawa kwa siri, kutokana na dhuluma ya serikali.
Hatimaye alikamatwa na kuhukumiwa adhabu ya kifo kwa kueneza imani Katoliki[3]. Hivyo alinyongwa na kuraruliwa akisamehe wote na kukiri imani sahihi hadi mwisho.
Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri tarehe 23 Mei 1920, halafu Papa Paulo VI tarehe 12 Oktoba 1975 alimtangaza kuwa mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Cobbett's Complete Collection of State Trials digitised by Google Books
- Biography of St Oliver Plunket
- St Oliver Plunkett webpage Archived 24 Juni 2021 at the Wayback Machine. maintained by Drogheda Borough Council & St. Peter's Church
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz