Pango (jiolojia)
Pango (kwa Kiingereza: "cave") katika jiolojia ni sehemu kubwa yenye uwazi iliyopo ardhini, kwenye mwamba au pia ndani ya mti mkubwa.
Mara nyingi linakuwa mahali pa kufichama au kufichia vitu.
Pia limedhaniwa na tamaduni mbalimbali kama za Afrika kuwa mahali pa kufichama au kuishi kwa mizimu n.k.
Tazama pia
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz