Papa Gregori V

Papa Gregori V (takriban 972Februari/Machi 999) alikuwa Papa kuanzia tarehe 3 Mei 996 hadi kifo chake[1]. Alitokea Saksonia, Ujerumani[2].

Papa Gregori V na ndugu yake Kaisari Otto III.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Bruno wa Carinthia.

Alimfuata Papa Yohane XV akafuatwa na Papa Silvester II.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.