Paris
mji mkuu wa Ufaransa
Paris (kwa Kifaransa: [paʁi] (info)) ndiyo mji mkuu na mji mkubwa wa Ufaransa ukiwa na wakazi 2,140,526 mwanzoni mwa mwaka 2019.
Paris | |||
| |||
Mahali pa mji wa Paris katika Ufaransa | |||
Majiranukta: 48°51′24″N 2°21′3″E / 48.85667°N 2.35083°E | |||
Nchi | Ufaransa | ||
---|---|---|---|
Mkoa | Île-de-France | ||
Wilaya | Paris | ||
Idadi ya wakazi (2019) | |||
- Wakazi kwa ujumla | 2,140,526 | ||
Tovuti: http://www.paris.fr/ |
Jiografia
Mji wa Paris unapatikana katika Ufaransa ya kaskazini.
Mto Seine unatiririka kupitia mji huo.
Picha
- Notre Dame
- Arc de Triomphe
- Place Dauphine
- Tuileries, Louvre
- Val-de-Grace
- Palais du Luxembourg
- Marché à la Rue Mouffetard
- Vue depuis Montmartre
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Paris kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz