Paulino wa Trier
Paulino wa Trier (alizaliwa Gascony, Ufaransa[1] - alifariki Frigia, leo nchini Uturuki, 358) alikuwa askofu wa mji huo (leo nchini Ujerumani).
Alitetea imani sahihi dhidi ya Uario, na kwa ajili hiyo alipelekwa na kaisari Konstans II uhamishoni[2][3], alipofariki miaka 5 baadaye.
Tangu zamani anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu na babu wa Kanisa.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 31 Agosti[4][5].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- August 31 in German History Archived 15 Machi 2013 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz