Pedrog
Pedrog (kwa Kiwelisi; pia: Petroc, Petrocus, Petrek, Perreux; 468 hivi[1] - 564 hivi) alikuwa mwanamfalme[2] na mmonaki wa Welisi, halafu mmisionari huko Cornwall alipokuwa ameanzisha monasteri na shule yake)[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waanglikana na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
- Doble, G. H. (1938) Saint Petrock, a Cornish Saint; 3rd ed. [Wendron: the author]
- Doble, G. H. (1965) The Saints of Cornwall: part 4. Truro: Dean and Chapter; pp. 132–166
- Jankulak, Karen (2000) The Medieval Cult of St. Petroc Boydell Press (19 Oct 2000) ISBN 978-0-85115-777-1
- Orme, Nicholas (1996). English Church Dedications, with a Survey of Cornwall and Devon. Exeter: University of Exeter Press. ISBN 0-85989-516-5.
- Orme, Nicholas (2000) The Saints of Cornwall Oxford: U. P. (6 Jan 2000) ISBN 978-0-19-820765-8
- Stacey, Robin Chapman, review of Karen Jankulak. "The Medieval Cult of St. Petroc" Albion: A Quarterly Journal Concerned with British Studies, Vol. 34, No. 1 (Spring, 2002), pp. 180–181
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz