Pelaji wa Cordoba
Pelaji wa Cordoba (kwa Kihispania: Pelayo; Crecente, 912 hivi - Cordoba, Hispania, 926) alikuwa mtoto Mkristo wa Hispania, aliyeuawa kwa kuchanwachanwa kwa koleo za chuma kutokana na amri ya mtawala wa eneo hilo, Abd-ar-Rahman III kwa sababu alikataa kusilimu[1] na kulawitiwa naye[2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini[4][5][6].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Jessica Coope: Martyrs of Cordoba: Community and Family Conflict in an Age of Mass Conversion: Lincoln: University of Nebraska Press: 1995: ISBN 0-8032-1471-5.
- Kenneth Wolf: Christian Martyrs in Muslim Spain: Cambridge: Cambridge University Press: 1988: ISBN 0-521-34416-6.
- Mark D. Jordan, The Invention of Sodomy in Christian Theology, Chicago, 1997; pp. 10–28
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz