Petro wa Argo
Petro wa Argo (pia: Petro mtendamiujiza; kwa Kigiriki: Άγιος Πέτρος ο Θαυματουργός[1] ; Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, karne ya 9 - Argos, Ugiriki, 922 hivi) alikuwa mzaliwa wa familia tajiri yenye maadili bora, halafu mmonaki na hatimaye askofu wa Argos na Nauplion.
Kwa upendo mkubwa alijitahidi kusaidia fukara na kukomboa watumwa, mbali ya kujenga umoja kati ya Wakristo [2]
Maandishi yake yanapatikana katika mkusanyo wa Patrologia Graeca[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[4].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz