Piensi

Piensi (alifariki Poitiers, Akwitania, leo nchini Ufaransa, 564 hivi) alikuwa askofu wa mji huo [1][2].

Alimsaidia sana malkia Radegunda kuanzisha monasteri mbalimbali[3].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Machi[4].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.