Plato wa Konstantinopoli
Plato wa Konstantinopoli (au wa Sakkoudion; labda Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 735 hivi - Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 4 Aprili 814) alikuwa abati mwanzilishi wa monasteri ya Mlima Olimpo huko Bitinia baada ya kuacha kazi yake katika ikulu na kukataa uaskofu.
Alitetea sana heshima kwa picha takatifu pamoja na mtoto wa ndugu yake, Theodoro wa Studion, wakati wa dhuluma ya serikali ya Dola la Roma Mashariki na katika mtaguso wa pili wa Nisea. Pamoja naye tena alirekebisha monasteri maarufu ya Studion.[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Lilie, Ralph Johannes (1996). Byzanz unter Eirene und Konstantin VI. (780–802) (kwa German). Frankfurt am Main: Peter Lang. ISBN 3-631-30582-6.
- Talbot, Alice-Mary & Kazhdan, Alexander, Plato of Sakkoudion, page=1684
- [1]
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz