Polisi
Polisi (kutoka neno la Kiingereza police lilikopwa kutoka Kifaransa police[1] ambalo awali lilikuwa la Kilatini politia,[2] na kabla yake tena la Kigiriki πολιτεία, politeia, "uraia, usimamizi, ustaarabu wa mjini".[3] Msingi ni neno πόλις, polis, "mji".[4]) ni idara ya serikali ambayo lengo lake ni kutekeleza sheria za nchi,[5] kulinda mali[6] kudumisha usalama na kupunguza vurugu, kutokomeza vifo visivyokuwa vya lazima, pamoja na kuokoa mali.[7][8]
Polisi pekee inaruhusiwa kutumia nguvu katika jamii.
Kwa kawaida polisi hutofautiana na wanajeshi ambao kazi yao ni kulinda nchi dhidi ya wavamizi kutoka nje.
Mara nyingi polisi wanajulikana kuathiriwa na ufisadi kwa kiasi tofautitofauti.
Tanbihi
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz