Prokopi wa Sazava
Prokopi wa Sazava (Chotoun, Bohemia, takriban mwaka 970 – Sazava, Bohemia, 25 Machi 1053) alikuwa Mkristo ambaye, kwa kuacha mke na mtoto, akawa mmonaki Mbenedikto, mkaapweke na hatimaye abati wa monasteri aliyoianzisha Sazava (Ucheki) akifuata madhehebu ya Kigiriki na kutumia lugha ya Kislavoni.
Tarehe 2 Juni 1204 alitangazwa na Papa Inosenti III kuwa mtakatifu[1].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Hugo Fabricius, Požehnaná Památka Welikého Swěta Diwotworce Swatýho Prokopa, Kutná Hora (1780).
Viungo vya nje
- [1]
- Saints of July 14: Procopius of Sázava
- (Kiitalia) San Procopio di Sazava
- History (klaster-sazava.cz)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz