Q-Tip
Kamaal Ibn John Fareed (amezaliwea na jina la Jonathan Davis manmo tar. 10 Aprili 1970), anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Q-Tip, ni msanii wa muziki wa hip hop kutoka mjini St. Albans, Queens, New York huko nchini Marekani. Ni mmoja kati ya wanachama matata kabisa wa kundi zima la hip hop la A Tribe Called Quest.
Q-Tip | |
---|---|
| |
Maelezo ya awali | |
Jina la kuzaliwa | Jonathan Davis |
Pia anajulikana kama | Abstract, MC Love Child |
Amezaliwa | 10 Aprili 1970 |
Asili yake | St. Albans, Queens, New York, Marekani |
Aina ya muziki | East Coast hip hop, alternative hip hop |
Kazi yake | Mburudishaji |
Ala | Sauti, Kinanda, Bass, ngoma |
Miaka ya kazi | 1986 – hadi sasa |
Studio | Jive, Arista, Universal Motown, Battery, GOOD Music, Def Jam |
Ame/Wameshirikiana na | A Tribe Called Quest, De La Soul, Jungle Brothers, Queen Latifah, Busta Rhymes, Mobb Deep, Beastie Boys, Mary J. Blige, Talib Kweli, Ice Cube, Cypress Hill, Consequence, Mark Ronson, Janet Jackson, Kurt Rosenwinkel, Faith Evans, Native Tongues, R.E.M. |
Tovuti | qtiponline.com |
John Bush wa Allmusic anamwita "rapa/mtayarishaji mahiri katika historia nzima ya hip-hop,"[1] wakati wahariri wa About.com wamemweka katika orodha yao ya 50-Bora ya Watayarishaji wa Hip-Hop,[2] na vilevile kumweka katika orodha yao ya Ma-MC Bora-50 wa Kipindi Chetu (1987–2007).[3] Mwaka wa 2012, jarida la The Source wamemweka nafasi ya 20 katika orodha yao ya Washairi 50 Bora wa Muda Wote.[4]
Kazi
A Tribe Called Quest
Kazi za kujitegemea
Diskografia
- 1999: Amplified
- 2008: The Renaissance
- 2009: Kamaal/The Abstract
- 2013: The Last Zulu
Filmografia
- 1993: Poetic Justice
- 1999: Love Goggles
- 2000: Disappearing Acts
- 2001: Prison Song
- 2002: Brown Sugar
- 2004: She Hate Me
- 2008: Cadillac Records
- 2010: Holy Rollers
Marejeo
Viungo vya Nje
- Official website
- Q-Tip katika Discogs
- Q-Tip at the Internet Movie Database
Kigezo:Q-TipKigezo:A Tribe Called QuestKigezo:SoulquariansKigezo:GOOD Music