1970
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950 |Miaka ya 1960 |Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| Miaka ya 1990| Miaka ya 2000| ►
◄◄ |◄ |1966 |1967 |1968 |1969 |1970| 1971| 1972| 1973| 1974| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1970 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 3 Januari - Boay Akonay, mwanariadha wa Tanzania
- 12 Januari - Raekwon, mwanamuziki kutoka Marekani
- 29 Januari - Paul Ryan, mwanasiasa kutoka Marekani
- 4 Februari - Simon Pegg, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
- 7 Machi - Rachel Weisz, mwigizaji filamu kutoka Uingereza
- 1 Aprili - Method Man, mwanamuziki wa Marekani
- 9 Mei - Ghostface Killah, mwanamuziki kutoka Marekani
- 26 Juni - Sean Hayes, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 6 Julai - Inspectah Deck, mwanamuziki kutoka Marekani
- 19 Agosti - Fat Joe, mwanamuziki kutoka Marekani
- 23 Agosti - Jay Mohr, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 26 Agosti - Melissa McCarthy, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 31 Agosti – Debbie Gibson
- 7 Oktoba - U-God, mwanamuziki kutoka Marekani
- 8 Oktoba - Matt Damon, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 12 Oktoba - Cody Cameron, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 8 Novemba - Diana King, mwimbaji wa kike kutoka Jamaika
- 10 Desemba - Mihai Cătălin Frăţilă, askofu Mkatoliki nchini Romania
- 14 Desemba - Anna Maria Jopek, mwimbaji kutoka Poland
- 23 Desemba - Angela Fuste, mwigizaji filamu kutoka Venezuela
bila tarehe
- Chantal Biya, "First Lady" wa Kamerun
- Tedd Josiah, mwanamuziki kutoka Kenya
- Carola Kinasha, mwanamuziki wa Tanzania
Waliofariki
- 5 Januari - Max Born, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1954
- 2 Februari - Bertrand Russell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1950
- 16 Februari - Peyton Rous, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1966
- 17 Februari - Shmuel Yosef Agnon, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1966
- 12 Mei - Nelly Sachs, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1966
- 18 Juni - Nicolaas Louw, mwandishi wa Afrika Kusini
- 1 Agosti - Otto Warburg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1931
- 1 Septemba - Francois Mauriac, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1952
- 18 Septemba - Jimi Hendrix, mpiga gitaa kutoka Marekani
- 24 Oktoba – Richard Hofstadter, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1956
- 21 Novemba - Chandrasekhara Raman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1930
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz