Ramon Nonat
Ramon Nonat[1], O. de M. (Portell, 1204 – Ngome ya Cardona, 31 Agosti 1240) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Catalonia, Hispania.
Kadiri ya karama ya shirika lake alikwenda mara mbili Algeria kukomboa watumwa akajitoa kutekwa mwenyewe hadi malipo yatakapokamilika[2].
Papa Aleksanda VII alimtangaza mtakatifu mwaka 1657.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Elizabeth Hallam (ed.), "Saints: Who They Are and How They Help You" (New York: Simon & Schuster, 1994), p. 33.
- "Lives of the Saints, For Every Day of the Year, edited by Rev. Hugo Hoever, S.O.Cist., Ph.D., New York: Catholic Book Publishing Co., June 1, 1955, p. 344
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Santi e beati: San Raimondo Nonnato (Kiitalia)
- The Saint of the Day: St Raymond Nonnatus, August 31 Archived 24 Juni 2017 at the Wayback Machine.
- Catholic Online - Saints & Angels: St Raymond Nonnatus
- Praying to Saint Raymond Nonnatus (Kipoland)
- Litany to Saint Raymond Nonnatus (Kipoland)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz