Ramon wa Fitero
Ramon wa Fitero (pia: Raimundo, Raymond; karne ya 12 - 1163) alikuwa padri kanoni, halafu mmonaki na hatimaye abati wa monasteri ya mji huo, mwanzilishi wa shirika la kijeshi la Calatrava na mkombozi mkubwa wa Wakristo nchini Hispania[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Klementi XI mwaka 1719.
Sikukuu huadhimishwa tarehe 1 Februari[2].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Serafín Olcoz Yanguas (2012), "Una posible noticia acerca de Raymond de Saint Gaudens antes de ser el primer abad del primer monasterio cisterciense de la península ibérica", Príncipe de Viana 73(255), pp. 133–138.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz