Regulo wa Senlis
Regulo wa Senlis (kwa Kifaransa: Rieul; aliishi karne ya 4 BK) alikuwa askofu wa kwanza wa Senlis (leo nchini Ufaransa)[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Henri-Louis-Joseph Blond, "Research on the date of the apostolate of Saint-Rieul", Archaeological Committee of Senlis, Reports and Memories 1863, Senlis 1864, p. 58–96.
- Amédée Vicomte of Caix de Saint-Aymour, " The legend of Saint-Rieul ", Causeries du besacier: Mixes to serve the history of the countries that today form the department of Oise , Paris, A. Claudin / H Champion, 2nd series, 1895, p. 81-127.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz