Roselina
Roselina (1263 – 17 Januari 1329) alikuwa kiongozi wa monasteri ya Kikartusi ya Celle-Roubaud, karibu na Fréjus, mkoa wa Provence, leo nchini Ufaransa, aliyeng’aa kwa kujinyima, kufunga chakula, kukesha na kushika maisha magumu kwa jumla[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa katika tarehe ya kifo chake[2][3].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- http://www.beyond.fr/sites/roseline.html St Roseline Chapel
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz