Rupert wa Salzburg
Rupert wa Salzburg (pia: Ruprecht, Rudbertus, Roudbertus, Rupertus, Hrodperht, Hrodpreht na Robert; 660 hivi - Salzburg, Austria, 27 Machi 710) alikuwa mmonaki wa Kikolumbani, halafu askofu mmisionari huko Rhineland, Bavaria na Austria, akianzisha pia monasteri kuendelea kueneza Ukristo[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Bibliotheca hagiographica Latina, (Brussels, 1899), n. 7390-7403
- W. Levison, “Die älteste Lebensbeschreibung Ruperts von Salzburg” in Neues Archiv für ältere deutsche Geschichtskunde, xxviii. 283 seq.
- Hauck, Kirchengeschichte Deutschlands (3rd ed.), i. 372 seq.
Viungo vya nje
- Media related to Rupert wa Salzburg at Wikimedia Commons
- Lives of Sts. Robert (Rupert) and Erendruda Archived 14 Agosti 2014 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz