Senorina
Senorina (kwa Kireno: Senhorinha; Vieira do Minho, 942 hivi - Basto, 22 Aprili 982) alikuwa bikira nchini Ureno, mwenye undugu na Rudesindo[1].
Kisha kuingia katika monasteri ya Wabenedikto huko Vieira, iliyoongozwa na Godinha, dada wa mzazi wake, alimrithi kama abesi[1][2] halafu akahamishia monasteri huko Basto, karibu na Braga[2]. Jumuia ilipokosa chakula, alimuomba Mungu, naye akawapatia mara [3][4].
Alitangazwa mtakatifu na askofu Paio Mendes wa Braga mwaka 1130[5].
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz