Shirika la Mpango wa Chakula Duniani
Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (kwa Kiingereza: World Food Programme) ni tawi la kutoa msaada wa chakula la Umoja wa Mataifa na shirika kubwa zaidi la kibinadamu ulimwenguni kushughulikia njaa na kukuza usalama wa chakula.[1]
Kulingana na WFP, inatoa msaada wa chakula kwa wastani wa watu milioni 91.4 katika nchi 83 kila mwaka. Kutoka makao makuu yake huko Roma na kutoka ofisi zaidi ya 80 za nchi kote ulimwenguni, WFP inafanya kazi kuwasaidia watu ambao hawawezi kuzalisha au kupata chakula cha kutosha kwa ajili yao wenyewe na ya familia zao. Ni mwanachama wa Kikundi cha Maendeleo ya Umoja wa Mataifa na kamati kuu yake.[2]
Marejeo
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Official website Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz