Siagri wa Nice
Siagri wa Nice (alifariki 787) alikuwa askofu wa mji huo, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 777.
Awali alikuwa mmonaki naye alianzisha monasteri karibu na Nice [1][2][3][4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki[5] na Waorthodoksi[6] kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Passet, Claude. La Passion de Pons de Cimiez (Passio Pontii): sources et tradition. Nice, 1977.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz