Sinodi ya maaskofu
Sinodi ya maaskofu (kwa Kiingereza: Synod of Bishops) katika Kanisa Katoliki leo ni mkutano maalumu unaofanyika mara kwa mara ili kumshauri Papa kwa niaba ya maaskofu wote duniani. [1][2]
Sinodi hiyo ina sekretarieti ya kudumu mjini Roma.
Papa Fransisko ameendelea sera za watangulizi wake wa kuongeza mamlaka na athari ya sinodi hiyo katika Kanisa lote.[3] Kuanzia mwaka 2023 waumini kadhaa wasio maaskofu wala mapadri pia watakuwa na haki ya kupiga kura.
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sinodi ya maaskofu kama historia yake au maelezo zaidi? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz