Sireno wa Sirmio
Sireno wa Sirmio (pia: Sinero; Ugiriki[1], karne ya 3 - Sirmium, leo nchini Serbia, 302 hivi) alikuwa mtunzabustani Mkristo ambaye alikamatwa kwa kushtakiwa na mwanamke mwasherati aliyeonywa naye kuhusu tabia yake chafu. Hatimaye aliuawa kwa kukatwa kichwa kwa sababu ya imani yake iliyomfanya akatae kuabudu miungu [2] wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[3].
Ndiyo maana anaheshimiwa tangu zamani na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 23 Februari[4].
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz