Sisenandi

Sisenandi (Beja, Ureno, au Badajoz, Extremadura - Cordoba, Hispania, 851) alikuwa shemasi wa Cordoba aliyekatwa kichwa na Waislamu waliotawala nchi hiyo kwa sababu ya imani yake ya Kikristo [1].

Taarifa zake ziliandikwa na Eulogi wa Kordoba[2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Julai[4].

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

  • Tolan, John, Medieval Christian Perceptions of Islam, New York: Routledge, 2000. ISBN|0-8153-1426-4
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.