Stefano wa Piperi
Stefano wa Piperi (kwa Kiserbokroatia: Свети Стефан Пиперски; alifariki 20 Mei 1697) alikuwa mmonaki wa Kanisa la Kiorthodoksi la Serbia.
Anaheshimiwa na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Maisha
Alizaliwa na wazazi fukara wenye imani katika kijiji cha Kuti, huko Župa (Montenegro).
Kisha kujiunga na monasteri ya Morača akawa abati wake.
Waturuki wa Dola la Osmani walipomfukuza, alihamia Rovacki, Turmanj (leo Celište).
Mwaka 1660 alihamia Piperi alipobaki chumbani hadi kifo chake.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz