Stratoni, Filipo na Eutikiani

Stratoni, Filipo na Eutikiani walikuwa Wakristo wa Nikomedia, leo Izmit nchini Uturuki, ambao waliuawa wakati wa dhuluma ya Dola la Roma, labda mwaka 301[1].

Wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao inaadhimishwa kila mwaka tarehe 15 Agosti[2].

Tazama pia

Tanbihi

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.