Tabaka la kati
Ndani ya ubepari wa kisasa, tabaka la kati ni familia/mtu mwenye sio maskini wala si tajiri pia anaitwa mlala heri. Pia kuna tabaka la kati la chini na la juu. Katika Umaksi, ni tabaka la kijamii lililo juu ya tabaka la wafanyakazi na chini ya matajiri (tabaka la juu).
Tazama pia
- Tabaka la juu
- Tabaka la kazi
- Mabepari
- Kola nyeupe
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz