Takaaki Kajita
Mwanafizikia wa Kijapani na mnajimu (1959-)
'
Takaaki Kajita | |
---|---|
Takaaki Kajita | |
Amezaliwa | 9 Machi, 1959 |
Kazi yake | mwanafizikia kutoka nchi ya Japani |
Takaaki Kajita (amezaliwa 9 Machi, 1959) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Japani. Hasa amechunguza mbembeo wa nyutrino unaoonyesha kwamba nyutrino ina masi. Mwaka wa 2015, pamoja na Arthur B. McDonald, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Takaaki Kajita kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz