1959
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 19 |Karne ya 20| Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1920 |Miaka ya 1930 |Miaka ya 1940 |Miaka ya 1950| Miaka ya 1960| Miaka ya 1970| Miaka ya 1980| ►
◄◄ |◄ |1955 |1956 |1957 |1958 |1959| 1960| 1961| 1962| 1963| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1959 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 16 Januari - Sade, mwanamuziki Mwingereza aliyezaliwa Nigeria
- 19 Februari - Damas Pascal Nakei, mwanasiasa wa Tanzania
- 23 Machi - Oliver N'Goma, mwanamuziki kutoka Gabon
- 9 Machi - Takaaki Kajita, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2015
- 17 Aprili - Sean Bean, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
- 27 Aprili - Andrew Fire, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2006
- 25 Mei - Abdul Jabir Marombwa, mbunge wa Tanzania
- 6 Juni - Jimmy Jam, mwanamuziki kutoka Marekani
- 10 Juni - Carlo Ancelotti, mchezaji mpira na meneja kutoka Italia
- 27 Juni - Khadja Nin, mwimbaji kutoka Burundi
- 16 Julai - Bob Joles, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 3 Agosti - Koichi Tanaka, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2002
- 29 Agosti - Gideon Byamugisha, kasisi kutoka Uganda
- 9 Oktoba - Boris Nemtsov, mwanasiasa kutoka Urusi
- 15 Oktoba - Mwadini Abbas Jecha, mbunge wa Tanzania
- 26 Oktoba - Evo Morales, rais wa Bolivia)
- 29 Oktoba - John Magufuli, rais wa tano wa Tanzania (tangu 2015)
Waliofariki
- 15 Februari - Owen Richardson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1928
- 28 Februari - Maxwell Anderson, mwandishi kutoka Marekani
- 9 Aprili - Frank Lloyd Wright, msanifu majengo kutoka Marekani
- 5 Mei - Carlos Saavedra Lamas, mwanasiasa wa Argentina na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1936
- 9 Juni - Adolf Windaus, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1928
- 17 Julai - Billie Holiday, mwanamuziki Mmarekani
- 15 Novemba - Charles Wilson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1927
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz