Theodosi I wa Aleksandria
Theodosi I wa Aleksandria (alifariki 22 Juni 566) kuanzia mwaka 535 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 33 wa Kanisa la Wakopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake.
Kumbe Waorthodoksi, baada ya muda mfupi wa kumkubali, walimkataa na kumfunga kwa miaka 28. Tangu hapo farakano halijaisha.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- "Theodosius I (536)". Official web site of the Greek Orthodox Patriarchate of Alexandria and All Africa. Iliwekwa mnamo 2011-02-07.
- http://st-takla.org/Saints/Coptic-Synaxarium-Orthodox-Saints-Biography-00-Coptic-Orthodox-Popes/Life-of-Coptic-Pope-033-Pope-Theodosius-I_.html
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz