Theofilo wa Aleksandria
Theofilo wa Aleksandria (alifariki 15 Oktoba 412) kuanzia mwaka 384 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 23 wa Kanisa la Wakopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu.
Maandishi yaliyotufikia
- Barua kwa Jeromu, Papa Anastasio I na Papa Inosenti I
- Kitabu dhidi ya Yohane Krisostomo
- Hotuba juu ya Yesu Kusulibiwa na Mhalifu Mwema
- Hotuba zilizotafsiriwa na Jeromu (katika mkusanyo wa Migne)
- Hotuba nyingine katika tafsiri ya Kikopti na Ge'ez
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- "Theophilos (385–412)". Official web site of the Greek Orthodox Patriarchate of Alexandria and All Africa. Iliwekwa mnamo 14 November 2016. Check date values in:
|accessdate=
(help) - "Theophilos". The Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company. Iliwekwa mnamo 14 November 2016. Check date values in:
|accessdate=
(help) - Christian Classics Ethereal Library: Theophilus
- Bede's Library: Theophilus
- Order of the Magnificat: St. Cyril
- Cyril of Alexandria
- Nestorian Theology Archived 14 Aprili 2004 at the Wayback Machine.
- John of Nikiu, Chronicle: the lynching of Hypatia
- Socrates and Sozumenos Ecclesiastical Histories ch. vii
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz