Ulrich wa Augsburg
Ulrich wa Augsburg (pia: Uodalric au Odalrici; Kyburg, Zurich, sasa nchini Uswisi, 893 – Augsburg, Ujerumani, 4 Julai 973) alikuwa askofu wa mji huo tangu tarehe 28 Desemba 923 hadi alipofariki miaka 50 baadaye.
Alikuwa maarufu kwa matendo ya toba na ukarimu[1].
Ndiye Mkristo wa kwanza kutangazwa mtakatifu na Papa mwenyewe (Papa Yohane XV, 4 Julai 993). Mbali ya Kanisa Katoliki, Waorthodoksi pia wanamheshimu hivyo.
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
- Gerhard of Augsburg wrote about St. Ulrich's life, the Vita Sancti Uodalrici and several books about his miracles have been written as well.
- Opera Omnia by Migne Patrologia Latina with analytical indexes
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz