Ursino wa Bourges
Ursino wa Bourges (alifariki Bourges, leo nchini Ufaransa, karne ya 3) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo[1].
Gregori wa Tours alisimulia habari zake kwa kuzichanganya na hadithi zisizoaminika kihistoria[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Hippolyte Delehaye, The Legends of the Saints (Dublin, Four Courts Press, 1955), 37.
Viungo vya nje
- Saints of November 9: Ursinus of Bourges Archived 6 Februari 2007 at the Wayback Machine.
- (Kifaransa) Saint Ursin Archived 19 Novemba 2007 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz