Valeri wa Trier

Valeri wa Trier (alifariki Trier, leo nchini Ujerumani, baada ya 250) alikuwa askofu wa pili wa mji huo[1][2][3][4].

Makaburi ya Eukari na Valeri mjini Trier.

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 29 Januari[5] au 11 Septemba.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.