Valeriko
Valeriko (pia: Walaric, Walric, Waleric, Walericus, Walarich, Gualaric, Valery; Auvergne, leo nchini Ufaransa, 565 hivi - Lauconne, Ufaransa, 1 Aprili 619) alikuwa mmonaki, halafu mkaapweke, lakini pia padri mmisionari katika maeneo mbalimbali na hatimaye abati wa monasteri aliyoianzisha kwa wafuasi wake wengi[1].
Tangu kale ametambuliwa kuwa mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- (Kiitalia) Giona di Bobbio. La vita di San Colombano. Bobbio, VII secolo.
- (Kiitalia) Dio è corazza dei forti. Testi del cristianesimo celtico (VI-X sec.). Rimini, Il Cerchio, 1998.
- (Kiitalia) Archivum Bobiense Rivista annuale degli Archivi storici Bobiensi (1979-2008). Bobbio.
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz