Wiliamu wa York
Wiliamu wa York (mwishoni mwa karne ya 11 – York, Uingereza, 8 Juni 1154) alikuwa askofu wa York, Uingereza kuanzia mwaka 1141 hadi 1147, tena kuanzia 1154 hadi kifo chake kilichosemekana kusababishwa na sumu iliyotiwa katika kikombe cha ekaristi[1]
Mtu mpole na mpendevu, alipofukuzwa jimboni kinyume cha haki, alijiunga na wamonaki wa Winchester, na aliporudi alisamehe maadui na kupatanisha wananchi [2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu. Papa Honori III alimtangaza tasmi kuwa hivyo tarehe 18 Machi 1226.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Marejeo mengine
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz