Winifrida

Winifrida (pia: Gwenffrewi, Winefride, Winifred, Wenefreda, Guineura; Flintshire, 600 - Conwy, 660) alikuwa bikira Mkristo wa Wales aliyeishi kama mmonaki[1].

Kioo cha rangi kikimuonyesha Mt. Winifrida huko Cardiff, Wales.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu, pengine mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Novemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.