John Maron
(Elekezwa kutoka Yohane Maron)
John Maron (kwa Kiarabu يوحنا مارون, Yuhanna Marun; Sirmaniyah au Sarmin nchini Syria, 628 – Kfarhy, Lebanon, 707) aliongoza Kanisa la Wamaroni kama Patriarki wake wa kwanza.
Baada ya kuwa mmonaki wa monasteri ya Mtakatifu Maroni, mwaka 676 alipewa uaskofu, halafu akawa askofu mkuu wa mji wa Antiokia kuanzia mwaka 685 hadi alipofariki.
Ametambuliwa na Kanisa Katoliki kuwa mtakatifu.
Maandishi
- Michel Breydy, Jean Maron. Expose de la foi et autres opuscules. Syr. 209. CSCO (Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium), Bd. 407, Peeters, Louvain 1988
Marejeo
- Michael Breydy: Johannes Maron. In: Biographisch-Bibliographisches Kirchenlexikon (BBKL). Band 3, Bautz, Herzberg 1992, ISBN 3-88309-035-2, Sp. 480–482.
- Siméon Vailhé, «Origines religieuses des Maronites», Échos d'Orient, t. IV, 1900-1901, n° 2, p. 96-102, et n° 3, p. 154-162.
Tazama pia
Viungo vya nje
- John Maron Archived 13 Oktoba 2006 at the Wayback Machine.
- Tovuti rasmi ya Kanisa la Wamaroni Archived 29 Desemba 2016 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz