Nenda kwa yaliyomo

Folko Scotti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Folko Scotti (Piacenza, Italia ya leo, 1165 hivi; Pavia, 1229) alikuwa askofu wa miji hiyo miwili ambayo ilichukiana lakini yeye aliweza kuipatanisha[1][2][3].

Anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu tangu alipotangazwa na Papa Gregori IX.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Oktoba[4].

Tazama piahariri chanzo

Tanbihihariri chanzo

Viungo vya njehariri chanzo

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz