Nenda kwa yaliyomo

Joji Limniota

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Joji Limniota (635 - Mlima Olimpo, Bitinia, leo nchini Uturuki, 24 Agosti 730 hivi) alikuwa mmonaki Mkristo tangu ujanani ambaye, alipofikia umri wa miaka 95 aliuawa kwa kukatwa pua na kuchomwa moto kichwa kwa sababu alimlaumu kaisari Leo III wa Bizanti, adui wa picha takatifu na wa masalia [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Agosti[2].

Tazama piahariri chanzo

Tanbihihariri chanzo

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz