Nenda kwa yaliyomo

Valdo wa Evreux

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kaburi lake.

Valdo wa Evreux (pia: Gaud; 400 hivi - 491 hivi) alikuwa askofu wa pili wa Evreux, leo nchini Ufaransa miaka 440-480, akijitahidi kufufua Ukristo katika eneo lake. Miaka yake ya mwisho aliishi kama mkaapweke msituni[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 31 Januari[2].

Tazama piahariri chanzo

Tanbihihariri chanzo

Marejeohariri chanzo

  • Hippolyte Gancel, Les saints qui guérissent en Normandie, 2006
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz