Abrahamu wa Arbela
Abrahamu wa Arbela (alifariki Arbela, leo Erbil, Iraki, 31 Januari 345) alikuwa askofu wa mji huo kwa mwaka mmoja hivi hadi alipokatwa kichwa katika dhuluma ya mfalme wa Persia Shapur II kwa kukataa kuabudu jua. [1][2][3] [4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 31 Januari[5].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Holweck, F. G. A Biographical Dictionary of the Saints. St. Louis, MO: B. Herder Book Co. 1924.
- The Bénédictins of Ramsgate 'Ten Thousand Saints, Hagiographic Dictionary' Brepols, 1991. ISBN|2-503-50058-7}}
- Kirschbaum, Engelbert (established). Published by Wolfgang Braunfels' Encyclopedia of Christian Iconography. First to eighth volume 'Rome / Freiburg / Basel / Vienna, Herder, 1990. ISBN|3-451-21806-2
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz