Albano wa Uingereza
Albano wa Verulamium (Uingereza Kusini Mashariki) anahesabiwa kuwa Mkristo mfiadini wa kwanza kutoka Britania ya Kirumi.
Alikuwa bado Mpagani alipomficha padri fulani nyumbani mwake. Baada ya huyo kumfundisha imani ya Kikristo, alibadilishana naye mavazi akajitokeza kukamatwa badala yake. Hapo aliteswa kikatili akakatwa kichwa[1].
Makadirio ya mwaka wa kifodini chake yanatofautiana sana: 209, 251 hivi na hata 304.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu, hasa tarehe 22 Juni[2].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Niblett, Rosalind (2001). Verulamium: The Roman City of St Albans. Tempus Publishing Ltd. ISBN 0-7524-1915-3.
Viungo vya nje
- Bede, Ecclesiastical History Book i.vii Archived 5 Julai 2004 at the Wayback Machine.: the story of Saint Alban
- The Story of Alban on the Cathedral and Abbey Church of St Alban's website
- The Latin Text of Bede's chapter on Alban at www.earlychurchtexts.com – also links to online dictionaries
- An English translation of Bede's chapter on Alban at www.earlychurchtexts.com
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz