Albino wa Lyon
Albino wa Lyon (alifariki 395 hivi) alikuwa askofu mkuu wa 14 wa mji huo, leo nchini Ufaransa, kwa miaka 10 hivi baada ya Yusto wa Lyon kung'atuka [1][2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[4][5].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Septemba[6].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- (Kilatini) De S. Albino episcopo conf. Lugduni in Gallia, in Acta Sanctorum Septembris, vol. V, Parigi-Roma 1866, p. 44
- (Kifaransa) Louis Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. II, Paris 1910, pp. 157-162
- (Kifaransa) Dictionnaire d'archéologie chrétienne et de liturgie, Tome X, première partie, Paris 1931, col. 193
- (Kiitalia) Charles Lefebvre, Albino (Alpino), vescovo di Lione, santo, in «Bibliotheca Sanctorum», vol. I, coll. 723-724
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz