Aldegunda
Aldegunda (Cousolre, Ufaransa 639 hivi - Maubeuge, Ufaransa, 684 hivi), alikuwa mwanamke aliyeanzisha monasteri pacha na kuziongoza kama abesi chini ya kanuni ya Kolumbani.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu bikira.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Januari[1].
Maisha
Mtoto wa wazazi wa koo mashuhuri, aliongokea Ukristo akabatizwa alifuatwa na baba yake, ambaye akawa baadaye mtakatifu Walbert. Pia mama yake Bertila na dada yake Vatrude[2][3] ni watakatifu[4].
Baada ya kukataa kuolewa, alitawa[5].
Alivumilia kwa ushujaa maumivu ya saratani ya matiti ambayo ikaja kumuua[6].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Saint of the Day, January 30: Aldegundis of Maubeuge Archived 25 Februari 2020 at the Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz