Alfonso wa Orozco
Alfonso wa Orozco, O.S.A. (Oropesa, Toledo, Hispania, 17 Oktoba 1500 - Madrid, Hispania, 19 Septemba 1591) alikuwa padri wa shirika la Waaugustino aliyepata umaarufu kwa mahubiri yake na kwa maisha ya kiroho.
Papa Leo XIII alimtangaza mwenye heri tarehe 15 Januari 1882, halafu Papa Yohane Paulo II akamtangaza mtakatifu tarehe 19 Mei 2002[1].
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake[2].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz